Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto aahidi kutoa vifaa vya matibabu vya ksh.150m katika kaunti ya Kakamega

  • | Citizen TV
    280 views
    Duration: 1:07
    Rais William Ruto aliahidi kutoa vifaa vya matibabu vya thamani ya Shilingi milioni 150 kupitia Mpango wa Huduma ya Vifaa vya Kitaifa (NESP) kwa hospitali mpya ya Butere kaunti ya Kakamega