Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa afya Aden Duale atetea sheria ya kudhibiti uhalifu wa mtandao

  • | Citizen TV
    244 views
    Duration: 1:04
    Waziri wa afya Aden Duale ameongeza sauti yake kwenye sheria ya kudhibiti uhalifu wa mtandao akisema itazuia hasa watoto kupata picha za kupotosha maadili au kujifunza kutumia dawa za kulevya. Duale aliyasema hayo wakati wa maadhimisho ya miaka 100 ya Msikiti wa Jamia na kubadilisha jina la Horizon TV kuwa Jamia TV hapa jijini Nairobi.