Ibrahim Traoré 'Shujaa wa Burkina Faso'
Inasemekana alikuwa mnyenyekevu lakini mwerevu shuleni, Kapteni Ibrahim Traoré wa Burkina Faso ni afisa wa jeshi ambaye alichukua madaraka kwa mapinduzi katika moja ya makoloni ya zamani ya Ufaransa huko Afrika Magharibi mwaka 2022.
-
Alimpindua aliyekuwa mshirika wake, Luteni Kanali Paul-Henri Damiba, baada ya kumtuhumu kwa kushindwa kutimiza ahadi yake ya kukomesha uasi wa Waislamu ambao umekikumba Burkina Faso tangu 2015.
-
Amekuwa akifanya mabadiliko nchini humo na wananchi wakionesha kumkubali. Je ni mabadiliko gani?
-
Lizy Masinga anaelezea
-
-
-
#bbcswahili #burkinafaso #IbrahimTraore #mapinduzi #uongozi #Damiba
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- Kericho Governor Erick Mutai once again faces an impeachment attempt, barely a year after surviving a similar bid in the Senate.
7 Aug 2025
- A man believed to be behind a string of brutal murders in Gem Yala sub-county in Siaya was apprehended and later lynched by members of the public.
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- They have been summoned over the irregular transfer of the government land.
7 Aug 2025
- The ministers of defence and environment died in a military helicopter on Wednesday.
7 Aug 2025
- By the end of 2025, 1,000 goats and sheep are expected to be distributed unger the Hope Project
7 Aug 2025
- A fully loaded matatu overturned on Waiyaki Way in Nairobi.
7 Aug 2025
- Customer requests on the Company’s USSD Code *977# increased by 13.58% from 1.62 million to 1.84 million