- 158 views
Mamlaka ya Afya ya Jamii SHA imesistiza kwamba afisa mkuu mtendaji wa Tume ya Walimu Nancy Macharia aliipotosha Kamati ya Bunge kuhusu elimu kwa kudai kwamba SHA ilikosa kuwasajili walimu alfu mia tatu sitini katika mpango wa bima ya afya. Kwa Mujibu wa Usimamizi wa SHA Walimu wote wanaweza kusajiliwa katika mpango huo na wanaweza kufaidika kupitia huduma tofauti Kupitia taarifa SHA imedai kwamba ... Walimu wote na wana wao wanaweza kusajiliwa kwa Mamlaka ya Afya ya Jamii. TSC Inaruhusiwa kuwasajili walimu kwa mpango mwengine kwa manufaa zaidi . Huduma ambazo walimu wanaweza kufaidika nazo ni.. Mpango wa Afya ya msingi, Mpango wa Bima ya Afya ya Jamii na Mpango wa Dharura na magonjwa ya Muda Mrefu.
Mamlaka ya SHA yakosoa afisa mkuu wa TSC Nancy Macharia
- 7 May 2025 - Sudan will cut ties with the United Arab Emirates, the army-affiliated defence council said on Tuesday, following army accusations that Abu Dhabi supports the rival Rapid Support Forces in the nation's civil war.
- 7 May 2025 - The funeral planning committee announced that the slain lawmaker’s body will be flown to Kabunde Airstrip on Thursday for a public viewing. He is slated to be buried on May 9.
- 7 May 2025 - A relentless downpour that began earlier this week intensified yesterday, unleashing widespread destruction across Mombasa. The aftermath included flooded homes and businesses, blocked sewers, impassable roads, and an overwhelming stench of raw sewage…
- 7 May 2025 - How Kenya is losing illicit brews trade war at the borders
- 7 May 2025 - Mutua and Orwoba clash during Senate probe on foreign jobs scandal
- 7 May 2025 - Kenya to spend Sh1.9 trillion on debt service
- 7 May 2025 - Dead or alive? Family of missing officer in anguish as State stays silent
- 7 May 2025 - Mau Forest to be fenced off to stop grabbing: Ruto
- 7 May 2025 - Right suspects in court? How face masks, disguises threaten justice
- 7 May 2025 - IEBC gets an additional Sh5.7 billion to prepare for 2027 poll