- 16 views
Serikali inaimarisha juhudi za kulainisha mfumo wa nchi hii wa kuwapeleka wafanyakazi nje ya nchi huku wasiwasi ukiongezeka kuhusiana na kuhadaiwa kwa wananchi wanaotafuta ajira ughaibuni. Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi alisema kuwa uchunguzi unaendelea kuwabaini mawakala wahuni wanaowapunja wale wanaotafuta ajira nje. Haya yanajiri siku chache baada ya vijana wa humu nchini kutoa ushahidi mbele ya kamati ya Senate kuhusu masaibu yanayowapata.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yaweka mikakati kuwalinda Wakenya wanaofanya kazi nje
- 5 Jul 2025 - The European Union's landmark rules on artificial intelligence will be rolled out according to the legal timeline in the legislation, the European Commission said on Friday, dismissing calls from some companies and countries for a pause.
- - Family seeks justice months after Amos Lang’at shot by State House officer
- 5 Jul 2025 - These men find themselves detained for fighting in a war they know little about.
- 5 Jul 2025 - Hilton, Nakuru's slums where drug dealing is the better option
- 5 Jul 2025 - Hilton: Nakuru's slum where drug dealing is the better option
- 5 Jul 2025 - Raila Odinga's turf slams union with Ruto
- 5 Jul 2025 - When politicians leave money on the table for us
- 5 Jul 2025 - Cousins jailed for 30 years for the killing of 11 GSU officers
- 5 Jul 2025 - No, Passaris, start by fixing our lazy parenting
- 5 Jul 2025 - Silent killer: Postpartum bleeding still claims ten mothers every day