- 730 views
Maafisa wa upelelezi wa Jinai (DCI) katika Kaunti ya Trans Nzoia wamefanikiwa kumtia mbaroni mshukiwa mkuu anayedaiwa kuwa kiini cha msururu wa visa vya wizi vilivyoshuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo. Kamanda wa Polisi wa eneo la Trans Nzoia Magharibi, Erick Ng’etich, amesema kuwa operesheni hiyo ilifanikishwa baada ya msako mkali wa muda mrefu. Mshukiwa huyo, ambaye ni mkazi wa mtaa wa Tuwan, alipatikana akiwa na bunduki tano za kujitengenezea, risasi tano, misokoto 40 ya bangi, pamoja na vifaa vya kutengeneza pesa bandia vikiwemo kemikali, karatasi na mashine maalum ya kuchapisha. mshukiwa anazuiliwa katika kituo cha polisi huku uchunguzi ukiendelea kabla ya kufikishwa mahakamani.
DCI wamemkamata mshukiwa mkuu wa ujambazi Trans Nzoia
- - 🔴 KTN LIVE STREAM ››
- - Bahari Ya Elimu ››
- - Duniani Leo ››
- 3 May 2025 - All four Blood Parliament filmmakers, who were arrested last night for allegedly sharing false information, have been released from Pangani Police Station.
- 3 May 2025 - The Finance Bill 2025 is due at a time of measured confidence in Kenya’s economy.
- 3 May 2025 - A group of goons on Friday raided the General Service Unit (GSU) camp at Angata Barrikoi, days after Inspector General of Police Douglas Kanja had ordered the personnel to leave the camp.
- 3 May 2025 - Football Kenya Federation President Hussein Mohammed on Friday, May 2, 2025, condoled with the family of the late Kariobangi North Member of County Assembly (MCA) Joel Munuve. In a statement on Saturday, May 3, 2025, Mohammed indicated that Munuve was a…
- 3 May 2025 - In the changes, the Chief Justice revoked several appointments.
- 3 May 2025 - Last month, four Republicans from the House and Senate sent letters to the presidents of Ivy League schools demanding years of data about how they decide what to charge. These institutions, the letters said, “establish the industry standard for tuition…
- 3 May 2025 - The President was told to sack Murkomen immediately after his recent comments.
- 3 May 2025 - Kenya’s higher education landscape has expanded rapidly over the last two decades, with 79 universities and degree-awarding institutions producing over 60,000 graduates annually. This academic boom has been celebrated as a major stride toward an educated…
- 3 May 2025 - Two experts yesterday narrated how an unlikely partnership of industries, researchers and Indigenous peoples – after a protracted struggle – agreed on the equitable use of genetic data from plants that make many blockbuster medicines and products.…
- 3 May 2025 - All four filmmakers linked to ‘Blood Parliament documentary released on free bond after spending a night in police custody, equipment still withheld.