- 272 views
Tetesi zinazidi kuibuliwa kuhusiana na ukodishaji wa viwanda vinne vya sukari huku baadhi ya wabunge kutoka eneo la magharibi wakipinga vikali hatua hiyo na kusema kuwa italemeza uchumi wa wakazi wa magharibi. Wabunge hao wameshangaa ni vipi kiwanda cha Nzoia kilikabishiwa mfanyibiashara Jaswant Rai ilhali mahakama iliamrisha mchakato wa ukodishaji usimamishwe. Wabunge hao wanasema mwekezaji huyo huyo alichukua usukani wa kiwanda cha Panpaper na kutoa ahadi ya kukifufua, ila hadi sasa hajafanya hivyo.
Viongozi wa magharibi wapinga ukodishaji wa viwanda
- - Duniani Leo ››
- 15 May 2025 - The worst fighting in Libya's capital for years calmed on Wednesday an hour after the government announced a ceasefire, Tripoli residents said, with no immediate statement from authorities on how many people had been killed.
- 15 May 2025 - Despite government policies, experience exposes critical gaps in support for single mothers.
- 15 May 2025 - Former deputy president and his allies dismiss speculations and call for patience.
- 15 May 2025 - Former Deputy President urges ex-Interior CS to shun Jubilee and form his own party for the 2027 contest.
- 15 May 2025 - The MP was castigated by seasoned politicians, with strict instructions to improve the welfare of his folks.
- 15 May 2025 - The development comes as she refuted claims that TSC has ceded its constitutional mandate to politicians.
- 15 May 2025 - Justice Nest is standing in the gap for women, children and prisoners
- 15 May 2025 - At the same time, the state is conducting an impact assessment of the fund, which was rolled out in 2022.
- 15 May 2025 - Sources say outfit is to be named Democracy for Citizens Party
- 15 May 2025 - The crisis stems from the government’s withdrawal of funding, leaving KSL and CLE reliant on student fees to stay afloat.