- 104 views
Mbio za kupandishwa daraja hadi ligi kuu ya FKF zimeongeza kasi huku timu nne zikiwa katika kinyang'anyiro cha kuchukua nafasi mbili zilizosalia. Fortune sacco iliongeza matumaini yao ya kupandishwa daraja kwa kuwafunga 3k fc 2-1 jana alasiri na kudhibiti nafasi ya tatu. Vijana wa migori youth wameongeza matumaini ya kusalia nsl baada ya ushindi mgumu wa 1-0 dhidi ya luanda villa kwenye uwanja wa migori. Migori walifunga bao la pekee kupitia penalti ya kipindi cha kwanza. Migori ilipaswa kushinda kwa mabao mengi, lakini hawakuweza kutumia nafasi zao. Huku vijana wa ss assad na muhoroni wakiwa tayari wameshuka daraja, timu tatu, migori youth, mombasa elite na mombasa stars wanapigania kubaki daraja la pili.
Mbio za kupanda daraja ya FKF
- 7 Aug 2025 - Kenya’s healthcare system is once again staring at a looming crisis after KMPDU issued a 14-day strike notice over what it terms as blatant disregard of signed agreements by both the national and county governments.
- 7 Aug 2025 - UN rights chief Volker Turk on Wednesday denounced the Rwanda-backed M23 militia, which he said had killed at least 319 civilians in eastern Democratic Republic of Congo in July.
- 7 Aug 2025 - Israel's military will have to execute any government decisions on Gaza, the defence minister said Wednesday after reported disagreements over the prospect of a full occupation of the Palestinian territory.
- 7 Aug 2025 - The DP said the administration considers the youth bulge as a resource to be tapped into for faster development of the country as opposed to being a challenge and a burden.
- 7 Aug 2025 - The students were to be moved to Talai Secondary School to pave the way for the establishment of Kabarnet University College, which is set to be the first ever, public university in the region.
- 7 Aug 2025 - Seven Ethiopian migrants died of hunger and thirst after their boat's engine failed in the Red Sea, the United Nations migration agency said Wednesday.
- 7 Aug 2025 - Investigations have revealed that the woman shot dead by a police officer in Kanyonyoo, Kitui County, was married and had left her husband at home under the pretext of going to work in Kitengela.
- 7 Aug 2025 - Broke Treasury speeds up KPC sale in bid to raise Sh100b
- 7 Aug 2025 - KRA staff and police among most corrupt officers, says new survey
- 7 Aug 2025 - Harambee Stars thirst for another win in Chan fixtures