Skip to main content
Skip to main content

Tume ya ufisadi yavamia maafisa wa michezo kwa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya nusu bilioni

  • | Citizen TV
    393 views
    Duration: 2:28
    Tume ya kupambana na ufisadi nchini imefanya msako katika makao na ofisi za maafisa wakuu wa idara ya michezo kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya shilingi millioni tano na zaidi ya nusu billioni, walizokuwa wamewekeza katika miradi ya serikali ya kusalisha riba. Upekuzi huo umefanyika maeneo mbalimbali nchini na kuwalenga maafisa watano na washirika wao