- 5 views
Serikali imekariri mipango ya kupanua shirika la huduma ya vijana kwa taifa, NYS, ikilenga kuwasajili vijana laki moja kia mwaka.
Waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku, aliyetembelea chuo cha mafunzo ya NYS cha Gilgil alisema serikali iko tayari kuwapa mafunzo vijana kuwawezesha kujikimu. Alisema mipango inaendelea ya kupanua kituo hicho ili kiweze kuhudumia vijana wapatao 40,000 ifikapo mwaka 2026. Alisifia wakufunzi katika chuo hicho kwa kudumisha nidhamu miongoni mwa vijana na kuwapa moyo wa kuhudumu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Huduma ya vijana
- - Duniani Leo ››
- - CATCH K24TV LIVE ››
- 25 Jun 2025 - France on Tuesday condemned what it called deadly "Israeli fire" against civilians in Gaza, after rescuers accused Israeli forces of killing 21 people as they waited for aid.
- 25 Jun 2025 - Brookside farmers rewards surge 32 to Sh303m
- 25 Jun 2025 - Sh34.1 billion deal to boost food security, rural livelihoods
- 25 Jun 2025 - Ruto's government should cease and desist from criminalising dissent
- 25 Jun 2025 - We'll have no regrets if we elect president with these attributes
- 25 Jun 2025 - Ruto says he is proud of police conduct, vows to stand by them
- 25 Jun 2025 - Ojwang's kin watch in silence as suspects deny murdering him
- 25 Jun 2025 - KQ to venture into production of aviation fuel to cut emissions
- 25 Jun 2025 - Tax policy: Private sector reels under unpredictable business environment
- 25 Jun 2025 - Delayed justice, insensitive State add more pain to grieving parents