- 192 views
Chama cha vitiligo nchini Kenya kimeadhimisha siku ya vitiligo duniani jijini Nairobi kwa lengo la kuhamasisha watu kuhusu ugonjwa wa vitiligo unaosababisha kupotea kwa rangi ya ngozi na mabaka mepesi kwenye ngozi. Siku hii iliadhimishwa kwa matembezi kuzunguka Nairobi CBD na huduma za uchunguzi wa matibabu bila malipo, dawa za vipodozi na matibabu ya kisaikolojia zinazolenga kuongeza ufahamu kuhusu ugonjwa wa ngozi. Sherehe za mwaka huu zililenga uhamasishaji na uwezeshaji wa watu wanaoishi na vitiligo. Sherehe hizo ambazo zilipangwa kufanyika tarehe 25 ziliahirishwa kwa sababu ya maandamano.
Siku ya Vitiligo yaadhimishwa kwa kutoa hamasisho
- - Lewa Marathon 2025 ››
- 29 Jun 2025 - Iran has expanded access to its airspace for international overflights following a ceasefire with Israel, though flight restrictions remain in place across much of the country, an official said Saturday.
- 29 Jun 2025 - Rwanda and the Democratic Republic of Congo have signed a peace agreement Washington to end fighting that has killed thousands, with the two countries pledging to pull back support for guerrillas -- and President Donald Trump boasting of securing…
- 29 Jun 2025 - A police officer, Dennis Munyao, popularly known as Afande Denno, has broken his silence after being taken in for questioning following his participation in the Wednesday, June 25, 2025, protests in Nairobi. Speaking to a local TV station on Saturday…
- 29 Jun 2025 - South Africa's Democratic Alliance (DA), a member of the ruling unity government, said Saturday that it was withdrawing from a "national dialogue" grouping aimed at tackling the problems dogging the country.
- 29 Jun 2025 - Police in Kisii have launched an investigation aimed at cracking down on fraudsters conning M-Pesa shop owners in Kisii Town, Keumbu, and surrounding areas.
- 29 Jun 2025 - Ruto allies vow to push for law regulating riots
- 29 Jun 2025 - History shows Gen Z demos will continue to push for real change
- 29 Jun 2025 - Gen Z protests: Let's deflate the national anger
- 29 Jun 2025 - When the State hires thugs to fight its citizens, it loses war on criminals
- 29 Jun 2025 - DCI officer strangled me over protest clips