Skip to main content
Skip to main content

Wakimbizi walaumiwa kwa kuharibu mazingira Garissa

  • | Citizen TV
    213 views
    Duration: 1:40
    Kufuatia uhabirifu mkubwa wa mazingira pamoja na uwindaji haramu unaofanywa na wakimbizi eneo la Dadaab kaunti ya Garissa, wadau katika idara hiyo wamependekeza njia kadhaa za kukomesha vitendo hivyo.