Watu milioni 4 hatarini kufa kwa Ukimwi
Dunia inaweza kukumbwa na vifo milioni 4 zaidi vinavyotokana na Ukimwi kufikia mwaka 2029, kwasababu ya kukatizwa kwa misaada muhimu na Marekani.
Haya ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ukimwi la UNAIDS.
Ripoti hiyo pia imesema katika kipindi hicho, kunaweza kuwa na maambukizi mapya milioni 6.
Hii ina maana gani kwa mataifa ya Afrika na je, yana uwezo wa kujikimu bila ufadhili huu?
Kwa haya na mengine mengi, ungana na Hamida Abubakar mwendo wa saa tatu usiku katika Dira ya Dunia TV, kumbuka kutembelea ukurasa wetu wa youtube utatupata mubashara andika tu bbcswahili
#bbcswahili #afya #HIV
12 Jul 2025
- The residents said they would continue protesting until the government heeds their demands.
12 Jul 2025
- Raila's comments come hours after Gachagua dismissed Odinga's calls for a national dialogue.
12 Jul 2025
- This comes days after Ruto asked police to shoot goons in the leg.
13 Jul 2025
- Protests show that psychological motivation to protest is a key driver used amongst the youth
13 Jul 2025
- Creating a global anti-graft court is the best impartial way to prosecute cases free from political interference
13 Jul 2025
- In Kenya, we are no strangers to state violence. But never before has it been commanded so openly
13 Jul 2025
- The demonstrations turned violent as was predicted leaving over 31 people dead
13 Jul 2025
- Nairobi County’s Chief Officer for Environment, Geoffrey Mosiria, has pledged to support street vendors following a tense initial
13 Jul 2025
- Much is still unknown about what caused an Air India flight June 12 to crash, killing at least 260 people. The London-bound plane crashed shortly after taking off from an airport in the city of Ahmedabad, India, and ripped through the dining hall of a…
13 Jul 2025
- Mexican officials have been negotiating for months in hopes of reaching a trade deal with Washington that would not devastate the country’s export-driven economy, but President Donald Trump upended those talks Saturday when he threatened to impose a 30…
13 Jul 2025
- Inclusive National Justice, Economic & Civic Transformation (INJECT) Party leader Morara Kebaso has urged the country’s youth, particularly
13 Jul 2025
- Roots Party leader Professor George Wajackoyah has finally graduated from the University of Walden with a Doctor of Law degree. In a statement late on Saturday, July 12, 2025, Wajackoyah celebrated his achievement by sharing a video of how he was…
13 Jul 2025
- People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua has called for accountability following the Kenya National Commission on Human