- 233 views
Matembezi ya kuhamasisha umma kuhusu ugonjwa wa kisukari yalifanyika jijini Nairobi kwa lengo la kuchangisha fedha na kuwasaidia watoto wanaoishi na aina ya kwanza ya ugonjwa wa kisukari. Matembezi hayo yaliyodhaminiwa na Citizen Digital kwa ushirikiano na wadau wengine, yaliwashirikisha watu mbalimbali waliotembea umbali wa kilomita 12.6. Matembezi hayo yalianzia na kukamilika katika uwanja wa Carnivore. Mpango huo unalenga kuhimiza uchunguzi wa mapema, upatikanaji wa dawa, na udhibiti wa hali hiyo miongoni mwa watoto kutoka jamii zilizoko katika mazingira magumu.Waandalizi walisisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa jamii katika kukabiliana na ongezeko la visa vya kisukari na kusaidia wagonjwa wenye umri mdogo wanaohitaji uangalizi wa mara kwa mara.
Umma wahamasishwa kuhusu ugonjwa wa kisukari
- 13 Jul 2025 - The Church in Kenya has been called upon to support the translation of the Bible into lesser-known languages, a project spearheaded by Bible Translation and Literacy (BTL). Speaking during the 5th edition of the “Run for The Bibleless” event held at…
- 13 Jul 2025 - Traditional political arithmetic is threatened by youth taking up an active role in Kenya's politics.
- 13 Jul 2025 - Questions linger about what could have caused the bleeding in Julia Wangui's brain.
- 13 Jul 2025 - The country must wake up to the reality that the big tribes’ power rivalry is slowly sending the country to the abyss
- 13 Jul 2025 - Revitalising indigenous seed systems is not merely about preserving the past; it is about securing the future
- 13 Jul 2025 - Protests show that psychological motivation to protest is a key driver used amongst the youth
- 13 Jul 2025 - The demonstrations turned violent as was predicted leaving over 31 people dead
- 13 Jul 2025 - Creating a global anti-graft court is the best impartial way to prosecute cases free from political interference
- 13 Jul 2025 - In Kenya, we are no strangers to state violence. But never before has it been commanded so openly
- 13 Jul 2025 - In a heartfelt appeal to the citizens of Nairobi, Geoffrey Mosiria, the Chief Officer of Environment, has taken