- 64 views
Wizara ya usalama wa taifa inadhamiria kutoa mwongozo wa kisera kuhusu matumizi ya bunduki na maafisa wa polisi, kufuatia lalama kutoka kwa umma kwamba maafisa hao wanatumia nguvu kupita kiasi wanapokaboiliana na raia. Waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen, amewaonya maafisa wa polisi wanaodaiwa kutumia nguvu kupita kiasi kinyume cha sheria kwamba watashtakiwa. Haya yanajiri huku waziri akikanusha madai ya kuwepo kwa kikosi maalum cha polisi kinachowahangaisha wakenya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Murkomen akanusha uwepo wa kikosi maalum cha polisi
- 16 Jul 2025 - Koimburi was charged in absentia alongside Kanyenya-ini Ward MCA Grace Nduta Wairimu and five others
- 16 Jul 2025 - According to to reports, the fire began at around 7PM on Tuesday, and despite the efforts by neighbours to put it our, two chilren a boy and a girl aged 8 and 4 years respectively, died.
- 16 Jul 2025 - The Environment and Land Court has scheduled an October 2025 mention in an ongoing dispute between the owners of Senteu Plaza in Kilimani, Nairobi, and their tenant, SBS Dunhill Group (East Africa) Limited.
- 16 Jul 2025 - As more cases of many Kenyans remaining stuck behind bars over unaffordable bond terms, Judiciary's Spokesperson Paul Ndemo has cleared the air on the guidelines the courts follow while charging a suspect.
- 16 Jul 2025 - Police IG Douglas Kanja took over the docket in late 2024.
- 16 Jul 2025 - The politician is said to have contravened the law.
- 16 Jul 2025 - At just 32 years old, Fahima becomes the youngest person to hold such a senior position in the commission’s history.
- 16 Jul 2025 - Forum seeks public feedback to align 2025 PBO regulations with disability rights laws
- 16 Jul 2025 - Murang’a Senator Joe Nyutu had sought answers regarding the ownership and procurement of the vehicles
- 16 Jul 2025 - Among those who protested in person, 66% reported encountering incidents of looting, mugging, physical assault.