- 108 views
Waziri wa elimuMigosi Ogamba amekariri kwamba sera ya serikali kuhusu mgao wa fedha kwa wanafunzi wa shule za sekondari haijabadilika licha ya wasiwasi unaoongezeka kuhusiana na kupunguzwa kwa ufadhili katika kiwango cha shule.. Akiwahutubia wanahabari kaitka kaunti ya Kisii waziri Ogamba alisema kuwa mgao rasmi wa wizara hiyo kwa kila mwanafunzi utasalia kuwa shilingi 22,244, kiasi kilichowekwa chini ya mpango wa elimu ya shule za sekondari za kutwa bila malipo lakini akakiri kwamba kuna vikwazo vya bajeti katika kutimiza kiasi hicho kutokana na ongezeko la idadi ya wanafunzi. Hata hivyo Ogamba anapendekeza kujumuishwa pamoja kwa basari zote za elimu ili kushughulikia ongezeko la idadi ya wanafunzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yasema hakuna mabadiliko katika mgao kwa shule
- 2 Aug 2025 - A section of residents and school officials from Mukuru kwa Ruben were on Friday blocked from accessing Gatoto Community Primary School, despite a court order that overturned an attempt by the government to register the school under its wings.
- 2 Aug 2025 - South Africa's deputy president defended himself Friday for failing to declare a gift to his wife of a diamond from a jailed gem dealer.
- 2 Aug 2025 - Former ICT Cabinet Secretary Margaret Nyambura Ndung'u has been appointed as senior researcher and digital policy specialist at the Digital Public Infrastructure (DPI) Safeguards Strategic Advisory Board, an initiative by the United Nations Office for…
- 2 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has criticized church leaders for remaining silent amid public backlash over his Ministry’s support for the National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA’s) new tough measures…
- 2 Aug 2025 - South African police said Friday they have arrested some 1,000 undocumented migrants working in gold mines in the northeast of the country.
- 2 Aug 2025 - Court of Appeal judges say the elderly widow did not justify the award.
- - Ruto promises Harambee Stars Sh600m if they win 2024 Chan
- 2 Aug 2025 - The suspect had been on the run and was the subject of an active warrant of arrest.
- 2 Aug 2025 - A former prime minister of Mali was charged Friday with "undermining the credibility of the state" following a social media post about his visits to political prisoners, a Bamako prosecutor said.
- 2 Aug 2025 - "In fact, the 2027 General Presidential Elections will be a coronation ceremony."