- 196 views
Vijana kaunti ya Kwale wametoa wito kwa viongozi na washikadau wa michezo kuwasiadia kukuza vipaji vyao kwa kuwapa vifaa vinavyofaa pamoja na ukarabati wa viwanja. Wakizungumza katika uwanja wa maonyesho wa Ukunda baada ya kupokea vifaa kutoka kwa katibu wa usalama Raymond Omolo, wachezaji wa timu za Amsterdam na kombani wamewataka viongozi wao kuiga mfano wa katibu huyo ili pia kupiga vita uhalifu miongoni mwa vijana na utumizi wa mihadarati. Wakfu huo unaendeleza zoezi la kugawanya sare za mpira kwa kaunti zote 47 ili pia kuwasaidia vijana kukuza vipaji vyao.
Kwale: Raymond Omollo asaidia ukuaji wa vipaji
- - Local news roundup ››
- 28 Jul 2025 - The British High Commissioner led celebrations to mark Kenya’s leadership in environmental innovation. Earthshot Prize hosted the Kenya Connect event recently in partnership with the British High Commission and Conservation International. The event…
- 28 Jul 2025 - One year after his appointment to the Cabinet, John Mbadi has continued to expose bureaucratic inefficiency over controversial remarks about critical public sectors that touch on the lives of many Kenyans. Last week, his blunt remarks on free education…
- 28 Jul 2025 - Harold Kimuge Kipchumba has always been branded as a “lost” man because of his stand on many issues in the vote-rich Rift Valley, always going against the “people’s” expectations. It, however, seems his lonesome decision finally paid off after he was…
- 28 Jul 2025 - For many years, the Turkana people of Kenya and the Toposa people of South Sudan have fought over water, grazing land, and livestock. These fights have caused many deaths and injuries, and the sound of gunfire was common along the border. Many peace…
- 28 Jul 2025 - When President William Ruto unveiled his Kenya Kwanza manifesto—The Plan—he pledged to make education equitable, affordable, and accessible to all Kenyans. On page 52 of the manifesto, a photograph of the President seated casually with school children…
- 28 Jul 2025 - The hospital says it cannot comply with the court directive, citing a lack of bed space and concerns over the suspect’s security and mental health status.
- 28 Jul 2025 - Harambee Stars players ready to head Kenya to glory
- 28 Jul 2025 - Mudavadi: I'll make sure UDA retains Malava seat
- 28 Jul 2025 - Over a decade at the helm of KHU with little to write home about
- 28 Jul 2025 - Mwagodi's 4 days of torture in the hands of agents from Tanzania