- 238 views
Kampuni ya Safaricom imeshirikiana na kaunti ya Tharaka Nithi kujenga kituo cha matibabu kitakachokuwa na uwezo wa kuwahudumia kina mama wajawazito 40 katika eneo la chuka igambang'ombe.mradi huo utakaogharimu shilingi milioni 45 unatarajiwa kukamilika chini ya mwaka mmoja ujao. kituo hiki kitakuwa na sehemu mbili za kuwahudumia wagonjwa mahututi pamoja tangi la kuhifadhi gesi ya oksijeni.Gavana wa Tharaka Nithi Muthomi Njuki amesema kituo hicho kitaimarisha huduma za afya kwa kina mama wajawazito huku Safaricom ikiutaja kuwa mchango wake wa kuimarisha huduma kwa wananchi.
Safaricom yajenga hospitali ya milioni 45 Tharaka Nithi
- - Local news roundup ››
- 28 Jul 2025 - The hospital says it cannot comply with the court directive, citing a lack of bed space and concerns over the suspect’s security and mental health status.
- 28 Jul 2025 - At the heart of the crisis is a widening capitation shortfall that has left schools across the country reeling. Education stakeholders are now urging Parliament to intervene urgently, amid revelations that the government owes institutions billions of…
- 28 Jul 2025 - According to eyewitness accounts and footage from the scene, the chaos erupted shortly after a church service at AIPCA Christ the King Church in Kahuro, Kigumo Constituency, where a group of legislators allied to Gachagua had gathered ahead of a…
- 28 Jul 2025 - Epidemic in slow motion: Experts sound alarm over rise in NCDs deaths
- 28 Jul 2025 - SHA payment policy locks out poor patients, senators say
- 28 Jul 2025 - Over a decade at the helm of KHU with little to write home about
- 28 Jul 2025 - Mwagodi's 4 days of torture in the hands of agents from Tanzania
- 28 Jul 2025 - Posta Kenya liabilities near Sh10b mark
- 28 Jul 2025 - Ruto: I'll protect children's right to free education
- 28 Jul 2025 - Coming unstuck: Critics say Ruto out of his depth as he fumbles the presidency