- 13,066 views
Kauli ya afisa mmoja wa ngazi ya juu wa polisi ya kumtaka Inspekta Jenerali wa polisi Douglas Kanja asitishe uajiri wa wanawake katika idara ya polisi imezua hasira kutoka kwa wadau mbalimbali wanaotaja semi hizo kama ubaguzi na ukiukaji mkubwa wa katiba. OCS wa Kituo cha Polisi cha Nyahururu, Isaac Kimutus alidai kuwa wanawake katika idara ya polisi wanatatiza kufanikishwa kwa kazi ngumu za polisi. Mary Muoki anazamia suala hilo linalotajwa kama dharau kwa wanawake na kauli za kuwadhalilisha.
OCS wa Nyahururu ajipata matatani kwa kupendekeza wanawake wachache waajiriwe katika idara ya polisi
- 3 Aug 2025 - The Democratic Republic of Congo (DRC) and Rwanda have reached an outline economic cooperation accord during their first talks since signing a peace deal, the United States announced.
- 3 Aug 2025 - China and Russia began joint naval drills in the Sea of Japan on Sunday as they seek to reinforce their partnership and counterbalance what they see as a US-led global order.
- 3 Aug 2025 - Sudanese paramilitaries are forming a parallel government to the one controlled by the country's army, pushing Sudan further towards de facto division, political analysts say.
- 3 Aug 2025 - NLC has assured that the affected land owners will be compensated.
- 3 Aug 2025 - The event was graced by several politicians.
- 3 Aug 2025 - The man has a habit of hijacking proceedings with off-topic outbursts.
- 3 Aug 2025 - They are set to help address security concerns in the designated areas.
- 3 Aug 2025 - In Kenya, America's rating as most preferred economic partner dropped to 48% compared to 52% in 2019
- 3 Aug 2025 - Ceremony highlighted by observance of traditional Kalenjin rite that signifies respect
- 3 Aug 2025 - Ivory Coast hosted the inaugural edition in 2009 with a total of 8 teams participating