- 577 views
Biwi la simanzi lilighubika kijiji cha Makutano viungani mwa mji wa Emali katika mazishi ya Garshon Mutisya, kijana aliyeuawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano ya tarehe 25 Juni. Familia, jamaa na marafiki waliohudhuria mazishi hayo wakiwashutumu maafisa wa polisi kwa kutumia silaha dhidi ya waandamanaji na serikali kwa kukosa kushughulikia maswala yanayoibuliwa. Viongozi wa kaunti hiyo, walikashifu agizo la Rais la waandamanaji kupigwa risasi ya Miguu huku wakitaka haki kwa familia zilizopoteza wapendwa wao. Marehemu akitajwa kama kijana aliyekuwa tegemeo katika familia yake.
Garshon Mutisya aliyeuwawa na polisi wakati wa maandamano amezikwa
- 3 Aug 2025 - The Democratic Republic of Congo (DRC) and Rwanda have reached an outline economic cooperation accord during their first talks since signing a peace deal, the United States announced.
- 3 Aug 2025 - China and Russia began joint naval drills in the Sea of Japan on Sunday as they seek to reinforce their partnership and counterbalance what they see as a US-led global order.
- 3 Aug 2025 - Sudanese paramilitaries are forming a parallel government to the one controlled by the country's army, pushing Sudan further towards de facto division, political analysts say.
- 3 Aug 2025 - The man has a habit of hijacking proceedings with off-topic outbursts.
- 3 Aug 2025 - They are set to help address security concerns in the designated areas.
- 3 Aug 2025 - An ordinance had been enacted by the colonial government to maintain local slavery in the Niger Delta region.
- 3 Aug 2025 - Ceremony highlighted by observance of traditional Kalenjin rite that signifies respect
- 3 Aug 2025 - Ivory Coast hosted the inaugural edition in 2009 with a total of 8 teams participating
- 3 Aug 2025 - Affected landlords have been directed to submit compensation claims.
- 3 Aug 2025 - Chaos, gangs, gunfire: Gaza aid fails to reach most needy