- 243 views
Mzozo umeibuka kati ya katibu mkuu wa chama cha kitaifa cha walimu (KNUT) Collins oyuu na naibu kiongozi wa chama cha safina, willis otieno, kuhusu mkataba mpya wa nyongeza ya mishahara ya walimu kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Akizungumza katika mazishi ya mama wa mwenyekiti wa tawi la KNUT Bondo, Isaiah Oulo, Oyuu pia alionya serikali dhidi ya kupunguza mgao wa fedha za ruzuku kwa shule na kudhoofisha elimu ya msingi bila malipo
Katibu wa knut atofautiana na naibu kiongozi wa chama cha Safina
- 4 Aug 2025 - The announcement was made through a presidential statement issued Monday and signed by Chief of Staff and Head of Public Service, Felix Koskei.
- 4 Aug 2025 - Former Lands Commissioner and Baringo Central MP Sammy Silas Komen Mwaita was on Monday released on a Ksh.10 million bond in a case where he is linked to a multi-million-shilling land fraud case in Nairobi West.
- 4 Aug 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku argues that Kenya’s Deputy President Kithure Kindiki is poised to be Kenya’s Head of State in coming years.
- 4 Aug 2025 - The Kenya Human Rights Commission (KHRC) has called for the scrapping of Kenya Kwanza administrations Financial Inclusion Fund also known as Hustler Fund.
- 4 Aug 2025 - Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has directed that all healthcare services accessed through the Social Health Authority (SHA) will not accept One-Time Password (OTP)-based authorizations.
- 4 Aug 2025 - This projection was shared by Harun Katusya, a senior consulting expert and the lead organizer of the upcoming Africa Premier AI Conference (APAIC2025), during a press briefing ahead of the highly anticipated event.
- 4 Aug 2025 - President William Ruto’s determination to win back the vote-rich Mt Kenya region has seen him tap into the experience of seasoned politicians expected to help reverse dwindling support in the...
- 4 Aug 2025 - At least a million youth have applied for the program.
- 4 Aug 2025 - The chemical lab is believed to be part of a larger international network.
- 4 Aug 2025 - The authority warned Kenyans to comply or face a similar fate.