- 171 views
Hospitali ya Nairobi imetangaza kusitisha ada mpya iliyoanza kutekelezwa hivi majuzi kufuatia mashauriano na washirika wakuu wa bima ambao walikuwa wameondoa huduma zao katika hospitali hiyo.Hospitali ilifafanua kuwa ongezeko la asilimia 5 kwa baadhi ya huduma za matibabu lilikuwa muhimu kutokana na kupanda kwa gharama ya vifaa vinavyoagizwa kutoka nje. Hospitali hiyo ilisisitiza kuwa inaendelea kushirikisha wadau wa bima ili kuhakikisha huduma kwa wagonjwa zinaendelea kutolewa.
Hospitali ya Nairobi yasitisha ada mpya za matibabu
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Setback for Ruto as court temporarily stops Kenya Pipeline sale
- 16 Aug 2025 - Supreme Court throws out bid to hold polls in 2026
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy
- 16 Aug 2025 - China hits US over cold-war tactics on aid to Kenya and trade threats
- 16 Aug 2025 - Kenyans to governors: Find something better to do with your time
- 16 Aug 2025 - Mbadi blasts governors for non-remittance of pension dues