Rais wa chama cha boda boda atahadharisha dhidi ya uvumi mitandaoni

  • | KBC Video
    310 views

    Rais wa Chama cha Boda boda nchini, Kelvin Mmbadi, amewakosoa vikali wanaoeneza uvumi kwenye mitandao ya kijamii kuwa vijana waendesha bodaboda waliokwenda Ikulu hawakupokea pikipiki. Mmbadi alifafanua kuwa kati ya waendeshaji pikipiki zaidi ya 5000 waliofika Ikulu, 200 ambao majina yao yaliwasilishwa rasmi na vikundi vyao ndiyo walipokea pikipiki .

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive