- 2,999 viewsTarehe 6 Februari, 1958, historia ya soka ilibadilika baada ya Ndege ya Manchester United, ikiwa imetoka kushiriki mechi ya Kombe la Ulaya, kuanguka mjini Munich, Ujerumani. Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu 23, wakiwemo wachezaji nane wa kikosi chipukizi cha ‘Busby Babes’. Ilikuwa ni siku ya huzuni kubwa, lakini pia mwanzo wa hadithi ya ustahimilivu, ujenzi upya, na ushindi wa kihistoria miaka 10 baadaye. Mwandishi wa BBC @loko_omi anasimulia zaidi kuhusu tukio hilo. Makala hii kwa urefu zaidi inapatikana katika ukurasa wa Youtub wa BBCSwahili 🎥: @frankmavura #bbcswahili #uingereza #manchesterunited Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Maafa ya anga ya Munich: Tukio la kihistoria la Manchester United
- 22 Aug 2025 - The State Department for Lands and Physical Planning on Friday convened a virtual meeting with all its officers to deliberate on strategies for improving performance and efficiency in public service delivery.
- 22 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen blames DCP leaders for failing to notify police officers on their itinerary during former Deputy President Rigathi Gachagua’s homecoming.
- » Reliable Clean Energy for Kenyan Communities: BLUETTI and UN-Habitat unite to empower Muhoroni and Ex-Grogon22 Aug 2025 - Over 2,000 residents in Kisumu and Nairobi Counties gained access to sustainable solar energy this week through the clean energy innovator BLUETTI’s Lighting an African Family (LAAF) initiative, in partnership with UN-Habitat. The week-long rollout…
- 22 Aug 2025 - Nurses in Machakos County have officially ended their strike following a successful meeting between union representatives and county officials.
- 22 Aug 2025 - Social media personality Shorn Arwa has come to the defence of female football fans who have recently started
- 22 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has sounded the alarm over the rising number of deadly road accidents along
- 22 Aug 2025 - From rural Narok to global platforms, she has proved that education can rewrite a girl’s destiny.
- 22 Aug 2025 - The National Police Service has arrested a person of interest following vandalism along the Standard Gauge Railway (SGR)
- 22 Aug 2025 - Ohangla musician Coster Ojwang’ has reflected on the early stages of his career, revealing that from the very
- 22 Aug 2025 - In a bold crackdown against illicit trade, the police destroyed large quantities of illegal brews and narcotics at