Skip to main content
Skip to main content

Shabiki.com yafadhili mashindano ya kandanda ya Rashid Abdalla Super Cup

  • | Citizen TV
    132 views
    Duration: 2:01
    Kampuni ya Shabiki.com imefadhili makala ya sita ya mashindano ya kandanda ya Rashid Abdalla Super Cup, michuano inayoendelea katika kaunti za Mombasa na Kwale. Afisa wa oparesheni Shabiki.com, Abdi Waqo, amesema lengo kuu la shabiki.com ni kuinua na kukuza vipaji mashinani