Skip to main content
Skip to main content

Hospitali ya rufaa ya Busia yasema itazika miili isiyochukuliwa

  • | Citizen TV
    227 views
    Duration: 1:23
    Usimamizi wa hospitali ya rufaa ya Busia umetoa makataa ya siku 30 kwa familia za marehemu wanaohifadhiwa katika makafani ya hospitali hiyo, la sivyo miili hiyo itazikwa kwenye kaburi moja.