Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa kike Nandi waanzisha timu ya soka kuimarisha afya na kupambana na maradhi ya uzee

  • | Citizen TV
    220 views
    Duration: 2:13
    Kundi la kina mama wazee kaunti ya Nandi limeanzisha timu ya soka inayojulikana kama Tegat Grannies Football Club. Timu hiyo inatumia mchezo wa mpira wa miguu kama njia ya kuimarisha afya ya mwili na kukabiliana na maradhi yanayoambatana na uzee