Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya wakaazi wa Dongo Kundu wadai fidia kutoka kwa serikali

  • | Citizen TV
    136 views
    Duration: 4:35
    Baadhi ya wakaazi wa Dongo Kundu huko likoni kaunti ya Mombasa wanadai fidia kutoka kwa serikali ili kutoa nafasi ya uwekezaji katika ardhi ya ekari 1000. Kulingana nao, serikali imewanyanyasa na kuafikia fidia duni. Wakazi hao pia wanawalaumu viongozi kwa kukosa kuingilia kati na kuhakikisha wamepewa fidia inayolingana na kiasi cha ardhi wanachomiliki. Baadhi ya wakazi wamepokea fidia ya mradi huo wa eneo maalum la kibiashara.