Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wamtaka Rais William Ruto kuhakikisha miradi imekamilika katika kaunti ya Samburu

  • | Citizen TV
    279 views
    Duration: 3:14
    Siku chache baada ya ziara ya Rais William Ruto, katika kaunti ya Samburu,wakazi wa kaunti hiyo wamemtaka kuhakikisha miradi aliyozindua hasa mradi wa usambazaji maji unakamilika Kwa Wakati. Wakazi hao wanamtaka rais ruto kuhakikisha mradi huo umekamilika ili kuwaondolea dhiki ya kusaka maji Kila siku.