Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa kahawa Tetu kaunti ya Nyeri wanailaumu walalamikia wizi

  • | Citizen TV
    89 views
    Duration: 1:52
    Wakulima wa kahawa vijijini Gititu, Thage-ini na Wachuri Huko Tetu kaunti ya Nyeri, wamelalamikia utepetevu wa asasi za usalama kuwasaka na kuwakamata watu wanaoendelea kuwahangaisha kwa kuiba kahawa mashambani kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.