Skip to main content
Skip to main content

Afrika Kusini yaizamaza Kenya raga fainali

  • | Citizen TV
    359 views
    Duration: 41s
    Timu ya wanawake ya raga kutoka afrika kusini maarufu kama springbok imetetea ubingwa wake wa raga ya afrika kwa kuwàlaza wenyeji kenya alama 22-0 katika uwanja wa RFUEA hapa Nairobi.