Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya viongozi wa ODM mashinani wataka suluhu

  • | Citizen TV
    341 views
    Duration: 1:53
    Viongozi wa ODM Kaskazini mwa Kenya wamewaomba viongozi wa kitaifa kusitisha malumbano na tofauti baina yao na kujituma kuhakikisha chama hicho kimeimarisha mashinani tayari kwa uchaguzi mkuu mwaka 2027