Skip to main content
Skip to main content

Kampeni ya kuchangisha pesa za kusaidia watoto dhidi ya utapiamlo yazinduliwa

  • | Citizen TV
    185 views
    Duration: 2:08
    Watoto walioathirika na utapiamlo katika Kaunti ya Nairobi watapata afueni hivi karibuni baada ya kampeni ya kuchangisha zaidi ya shilingi milioni ishirini na tano kuzinduliwa