Skip to main content
Skip to main content

Mitandao ya kijamii yachangia kuharibu ndoa nyingi Lamu

  • | Citizen TV
    585 views
    Duration: 2:01
    Mitandao ya kijamii imetajwa kuchangia ndoa nyingi kuporomoka katika Kaunti ya Lamu kutokana na wanandoa kutumia muda wao mwingi kwenye mitandao huku wakisahau majukumu yao nyumbani.