Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Kirinyaga wataka vituo vya kimbilio vijengwe dhidi ya dhuluma za kijinsia

  • | Citizen TV
    224 views
    Duration: 1:48
    Huku Kampeni za Siku 16 za Kupinga ukatili wa kijinsia kote ulimwenguni zikiendelea , viongozi katika kaunti ya Kirinyaga washinikiza serikali kuanzisha vituo vya kuripoti matukio haya kote nchini .