Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto aagiza polisi kukabiliana vikali na wahuni nchini

  • | Citizen TV
    8,960 views
    Duration: 2:25
    Rais William Ruto ametoa agizo kwa idara ya polisi kukabiliana vikali na makundi ya wahuni wanaovuruga amani nchini. Rais ameyasema hayo kwenye mahafali ya Machifu na manaibu wao 1,837 waliofuzu leo baada ya kukamilisha masomo ya utawala, sheria na usalama katika chuo cha mafunzo ya polisi bewa la Embakasi hapa jijini Nairobi.