Skip to main content
Skip to main content

Serikali yashirikiana na muungano wa majeshi ya Kiislamu dhidi ya ugaidi

  • | Citizen TV
    982 views
    Duration: 1:15
    Muungano wa majeshi ya Kiislamu dhidi ya ugaidi umenzisha programu ya mafunzo ya kukabilana na jinamizi la ugaidi nchini. Hafla ya uzinduzi wa kutoa mafunzo hayo ya siku sita kwa wanahabari, wataalamu na wasomi inafanyika hapa Jijini Nairobi.