Skip to main content
Skip to main content

CECAFA U17: Kenya na Ethiopia kupigania nafasi ya tatu

  • | Citizen TV
    228 views
    Duration: 53s
    Timu ya taifa ya kandanda ya vijana chini ya miaka 17 juniuor stars, itacheza mechi yao ya mwisho ya mechi za kufuzu kwa afcon ya chipukizi jumanne kuanzia saa sita mchana watakapomenyana na wenyeji ethiopia katika mechi ya mchujo wa nafasi ya tatu.