Skip to main content
Skip to main content

Mahakimu na majaji wa Afrika Mashariki wakongamana Nairobi

  • | Citizen TV
    1,322 views
    Duration: 51s
    Jaji mkuu Martha Koome anaongoza kongamano la mahakimu na majaji wa jumuiya ya Afrika Mashariki hapa jijini Nairobi. Kwenye kongamano hilo ambalo hufanyika kila mwaka, majaji na mahakimu kutoka mataifa ya afrika mashariki wanajadili mikakati bora ya kufanikisha upatikanaji wa haki mahakamani.