Skip to main content
Skip to main content

Idadi ya vijana wanaoambukizwa virusi vya Ukimwi yahofiwa kuongezeka katika kaunti ya Lamu

  • | Citizen TV
    280 views
    Duration: 1:48
    Idara ya Afya ya Kaunti ya Lamu inahofia kuwa maambukizi ya virusi vya UKIMWI yanaweza kuongezeka kutokana na watu wengi, hasa vijana chini ya umri wa miaka 19, kukosa kuchukua tahadhari za kujikinga dhidi ya virusi hivyo.