Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Murang'a yakarabati masoko na vituo vya biashara

  • | Citizen TV
    384 views
    Duration: 2:21
    Gavana wa Murang'a, Dkt. Irungu Kang'ata, pamoja na uongozi wa kaunti, ameendelea kuzindua mradi wa Smart City maeno mengi ya kaunti hiyo kwa lengo la kufungua vituo vya ununuzi, miji, na masoko kwa ajili ya kukuza uchumi.