Skip to main content
Skip to main content

Makundi 29 yapewa mikopo bila riba kutoka hazina ya wanawake kaunti ya Makueni

  • | Citizen TV
    516 views
    Duration: 3:02
    Vikundi 29 vya wanawake katika eneo bunge la Mbooni kaunti ya Makueni vimenufaika na shilingi milioni 8.3 fedha za hazina ya wanawake nchini . Aidha wametakiwa kutumia fedha walizopata vizuri ili kuendelea kuinua hali zao za maisha.