Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wasema hawatampisha mwekezaji achimbe dhahabu Ikolomani

  • | Citizen TV
    5,022 views
    Duration: 1:32
    Wenyeji wa Isulu kaunti ya Kakamega wamezua rabsha kupinga mkutano ulioandaliwa na Nema kujadili swala la uchimbaji madini eneo. Aidha watu kadhaa wanadaiwa kupigwa risasa na polisi huku maafisa kadhaa pia wakijeruhiwa.