Skip to main content
Skip to main content

Gavana Wavinya awashauri vijana wasikubali kutumiwa vibaya

  • | Citizen TV
    416 views
    Duration: 1:09
    Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti amewahimiza vijana kukataa kutumiwa na wanasiasa kuchochea vurugu na badala yake wajisajili kuwa wapigakura . Akizungumza kwenye mchuano wa kombe la Wavinya, gavana huyo alieleza kuwa michezo hiyo imekuza vipaji vya vijana na kuinua hali hayo ya maisha.