Skip to main content
Skip to main content

Uhusiano wa Tanzania na Marekani upo mashakani baada ya maandamano, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    31,643 views
    Duration: 28:10
    Marekani imesema kuwa inatathimini upya uhusiano wake na Tanzania kufuatia mauaji ya raia wengi wakati wa uchaguzi mkuu wa hivi karibuni. Taarifa iliotolewa na ubalozi wa Marekani, imesema kuwa licha ya uhusiano wake wa muda mrefu uliostawi kati yake na taifa hilo, hatua ya hivi karibuni ya taifa hilo imezua wasiwasi mkubwa kuhusu mwelekeo wa uhusiano huo. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw