Skip to main content
Skip to main content

MCK yakosoa matamshi ya Gachagua yanayothiri wanahabari

  • | Citizen TV
    12,390 views
    Duration: 2:41
    Baraza la wanahabari nchini MCK limemshutumu aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua kwa matamshi yake ya kizushi na hatari dhidi ya wanahabari. Kwenye taarifa yake, MCK imeonya kuwa matamshi ya Gachagua ni ya kutishia uhuru wa wanahabari na kuhatarisha maisha yao. Gachagua hivi maajuzi alikosoa vyombo vya habari kwa kile alidai ni kutoa taarifa zisizo kweli kwenye vurumai lililozuka alipokuwa kanisani huko Kariobangi North