Skip to main content
Skip to main content

Dhuluma za mitandaoni dhidi ya wanawake zimeongezeka katika kaunti ya Kwale

  • | Citizen TV
    760 views
    Duration: 1:58
    Dhuluma za mitandaoni dhidi ya wanawake zimeongezeka katika kaunti ya Kwale . waathiriwa wengi wakiwa wanawake wanaofanya kazi mataifa ya nje kwa kulaghaiwa pesa na marafiki zao wa kiume kwa tishio la kuweka picha zao za siri mitandaoni.