Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya wawakilishi wadi walaumu seneti kwa kuwapuuza Nyamira

  • | Citizen TV
    650 views
    Duration: 1:48
    Bunge la Kaunti ya Nyamira limekosoa vikali uamuzi wa Seneti kukosa kusikiliza hoja ya kumng’oa Gavana Amos Nyaribo mamlakani, likisema masuala ya msingi yalipuuzwa. Badala ya kuangazia madai ya ufisadi na matumizi mabaya ya mamlaka, Seneti ilijadili zaidi hoja ya awali ya mawakili wa Gavana Nyaribo, hatua ambayo Bunge la Kaunti hiyo linadai imewanyima wakazi wa Nyamira haki.