Skip to main content
Skip to main content

Watu saba wafariki kufuatia ajali kwenye barabara kuu ya Mombasa-Nairobi

  • | KBC Video
    807 views
    Duration: 3:12
    Watu saba wamefariki kufuatia ajali mbaya ya barabarani kwenye barabara kuu ya Mombasa-Nairobi karibu na eneo la Miasenyi, katika kaunti ndogo ya Voi, kaunti ya Taita Taveta. Watu wengine kumi na moja walipelekwa hospitalini wakiwa na majeraha mabaya. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive