Skip to main content
Skip to main content

Jamaa-7 walioangamia kwenye ajali wazikwa Kakamega

  • | KBC Video
    202 views
    Duration: 2:07
    Huzuni ilitanda huko Sango, Matete, kaunti ya Kakamega, wakati wa mazishi ya watu saba wa familia moja walioaangamia kwenye ajali ya barabarani Kijabe kaunti ya Kiambu. Familia hiyo inayoomboleza ikiongozwa na mzee wa familia Haron Tsivona, ilielezea uchungu wa kuwapoteza wapendwa wao wengi wakati mmoja. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive